Umetoa OMBI zuri sana kwa Tanesco lakini NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE maana AHIITAJI NOTICE WALA KUSOMA MAHARI LECTURE, Katika nchi hii WANANCHI WA MWISHO WAO WA KWANZA
Hii ndio TANZANIA, KIFUATACHO KATIKT MGAO HUU WA UMEME TUNARUDI KULEKULE ENZI ZA WAZIRI ALIYEPUNGUZIWA MADARAKA KWA KUTOKUWA WAZIRI WA NISHATI NA MADI
UKINUNUA KITU KULA KIISHE MAANA UKISEMA UKIACHE KITAOZA
TANZANIA...
Kwa aliyeona atakubaliana na mimi na ambae hajaona lazima aibishe, Kama Ushawahi kula NYAMA sehemu yeyote ile ILIKOCHINJWA hukufaham Uelewe kuwa MZOGA/KIBUDU Umeshakula na bado unaendelea kula, Watanzania tuwe na akili wa kufikilia kitu kabla hujatenda ili usije kujuta baada ya kutenda
Nimeangalia kwa umakini kwenye magazeti yetu ya KITANZANIA yanayotoka kila SIKU nimegundua hili, TAARIFA ambazo ina MADHARA au ni za UCHOCHEZI kwa WANANCHI ndizo zinazopewa KIPAUMBELE kwa kuandikwa kwa HERUFI KUBWA ukurasa wa mbele wa gazeti husika AU hiyo Taarifa inapoandikwa huwa INAKOREZWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.