Ulikuwepo bwana wewe? Nasikitika baadhi ya watanzania wamechotwa na ulaghai wa lissu!ila niwaambie tu lissu hatokaa kupigania taifa hili lissu amegombea kwa
Personal interest za kwake!na sio taifa ! Na ndio maana jana amekiri kuwa na tiketi ya kuondoka mara tu baada ya uchaguzi!
Hoja gani alizojenga lisu? Za kuweka madini yetu rehani kama alivoandika kwenye ilani yao?hata hiyo maendeleo hayana chama ni magufuli ndo aliyeisema huyo mgombea wa kaki hakuna kitu amesema!
Ndio kazi yake! Yaani kuhesabu madaraja,barabara na miundombinu hiyo ndo kazi yake pamoja na kuhakikisha usalama wa wananchi wake na ndio maana kipindi cha corona alituvusha na alisimama na sisi !kudhalilisha akina mama ni hoja ambayo haina mashiko na haina maana naye pia ni mtoto kwa mama yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.