Ni kweli kabisa unachoongea.
Cnn, Msnbc, abc, TWITTER, FB, walihusika sana.
Hio video ilitoka baada ya miezi mitatu kwanini?? kwanin haipendekezwi kuangaliwa ili watu wajue ukweli halisi?/
Sikani kwmba kuwa kuna mapolisi wapo wanaoonea watu weusi lakini media ilichofanya kwa kuwapa watu stori...
miundo mbinu yenu, Imekuwa ni kkwazo kwa watumiaji wa barabara
Eneo: Chuo cha Teku, Mbeya.
Hii ni jana, Ngazi iliwekwa kati kati ya barabara kushikilia cble
Hii ni leo, Magari makubwa yanapata changamoto
Baada ya vuta nikuvute kwa uchaguzi wa Marekani ni dhahiri kwamba tumeona Trump hakupewa ushirikiano na Chama chake cha Republicans, Sio Hivyo tu kwani tangu mwaka 1016 hadi 2018 chama hicho kilipokuwa kimeshukilia senate na house bado walikuwa ni mzigo kwa Trump.
Trump kaamua kuunda chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.