Mrema hajawahi hata kuanzisha chama. Alikaribishwa NCCR akakiharibu. Akakaribishwa TLP na amekifanya kama mali yake. Aliingia tu upinzani mara tu baada ya kutoswa na CCM baada ya kutofautiana nao kwa vile hakutaka kuficha uchafu wa CCM kama ilivyo desturi ya chama. Ukitaka udumu CCM ni lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.