Ili kifikia Tanzania tuitakayo yabidi yafuatayo yafanyike
Kuboresha miundo mbinu vijijini na mijini kwa mfano Barbara, hospitari, na hata kwenye miundo mbinu ya uchumi wa nchi, na hii itawezeaha kuweka urahisi was usafirishaji wa malighafi kutoka shambani Hadi mijini kwenye viwanda, na hata...