Samahan..kuna issue ya AVN Kwa wale wenye diploma.ila ukiomba unaambiwa nacte hawana matokeo yako.ukijaribu kuwasiliana na chuo hawatoi ushirikiano...ni utaratibu gani unaweza kutumia labda mtu akapata msaada ?
Kuna issue ya AVN imekuwa tatio jaman.Nacte wanasema wahitimu wawasiliane na vyuo vitume matokeo ndo wapatiwe AVN....
Hivi Nacte si ni bodi inayosimamia vyuo vyote vya ufundi..kwanini wasiamulishe/au waweke utaratibu wa lazima kwa vyuo vyote kutuma matokeo jaman ..mpka wahitimu wakapige tena...
Ndugu. Habari za mida. Samahani anaye elewa juu ya upatikanaji wa hii Namba ya AVN naomba msaada wake...nimeiomba tangu Mwezi jana hawajanipatia..msaada wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.