Jichungeni na wizi wa mitandao msidanganyike kabisa hakuna kitu kama hichi nchi za ilaya....wao ndio wanakuja kufanya kazi za bure kwa sababi ya CV zao. Hawa kwenye mitandao wanao waambia kuwa mtapata kwenda kwenye hizi nchi kwa sababu ya kazi za kujitolea ni matapeli kama hamuamini lipeni hizo...
Duh huyu jamaa ni bonge la fala bado anakereketwa na michango walio towa wengine...sasa kama ume graduate miaka 8 na unamaisha yako unatafuta nini kwa wasio na maisha. Kaa na maisha yako usubiri kuwekwa kwenye show room ukifa. Tuje kuku visit mtu uliyekuwa na maisha yake kama farao.
Hata tembo alimdharau sisimizi lakini aliweza kumuuwa....eti una maisha wenye maisha huwa hawajitangazi weweeeee.....uliwahi kumuona bakhresa anaambia watu kuwa watu tuna maisha yetu.....duh nchi hii ina safari ndefu sana acha magufuli awanyooshe na sheria za mitandao. Una ita mtu tapeli wakati...
Wivu unakusumbua ungekuwa una maisha yako usingefatilia ya watu....sema tu na ww kama unataka kuchangiwa...ama kweli ndio maana riziki mungu ndio anayo gawa ungepewa wewe kugawa riziki watu wote wangekufa na njaa...bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.