Msaada mwenzenu yamenikuta nina sherehe yangu ya ndoa hivi karibuni,
Sasa basi kila nikifikiria kwenda kusimama mbele za watu na kuongea yaani katika kutambulisha uwiii[emoji28]nahisi jasho jembamba linanitoka, unaweza kushangaa la mbele unarudisha nyuma, na la nyuma unapeleka mbele...plz...
Mkuu nmekusikiliza nmekuelewa sana, uko sahihi kabisa....ni nikweli akuna mtu anayependa Apatwe na matatizo, shida zimepangwa kutokea kwa binadamu hivyo hatunabudi kukaa nakusubiri pia na kumshirikisha mungu katika hili maana kwa akili zetu hatuwezi....na naamini nitakuja na mrejesho...amina...
Wakuu Msaada jamani, maana huku kwangu ni shida familia ya msichana ni shida. Unakuta mmepanga kupeleka mahari unasikia msiba, kuna mgonjwa yaani ni pasua kichwa.
Hivi ni mimi tu au ni kawaida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.