Recent content by sisterv

  1. S

    Buriani Amina Chifupa!

    Nashindwa kuamini hata baada ya masaa 12 toka tulipotangaziwa kuwa Amina hatuko naye tena...nasikia woga, woga wa ni kitu au namnagani hasa dunia hii ya tuishimo inaweza kuwa katili kiasi hiki. Hata kama Amina (Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi) alikuwa na mapungufu kiasi gani - mbona...
  2. S

    Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

    Masatu,[B] Kwani we ni Admin wa JF? Ina maana unakipimo cha kupima ni yapi: [B]mambo binafsi, udaku, kashfa, na matusi ! Usinielewe vibaya, hoja yangu ni kwamba swala la A. Chifupa halipaswi kuwa na uzito na kuchukua nafasi kubwa ya mjadala kwenye JF na wala si vyinginevyo. Halafu siwezi...
  3. S

    Kashfa nzito: Zitto vs Amina Chifupa

    Swala la A. Chifupa linaweza kuwa na sura ya kisiasa, sawa; lakini pia haya yoote yametokana na kutojitambua / kutojiamini kwake A. Chifupa na kutojali ama kufahamu maadili ya mwanamke ambaye ni kioo cha jamii. Huyu mama inasemekana aliendeleza tabia yake ya kubadilisha wanaume jinsi alivyotaka...
Back
Top Bottom