Nauza kiwanja chenye ukubwa mita 50*40
Kiwanja kipo umbali wa km 2 kutoka barabara kuu ya kuelekea Mbande
Kiwanja kipo eneo linaitwa Kitonga Mbagala.
Kiwanja kinauzwa kwa bei ya Tshs mil 4
Kwa mawasiliano Whatsapp/Call 0689 193883 kwa mazungumzo na ikiwa utahitaji kukiona kiwanja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.