Jitambue lilikuwa gazeti mahiri sana ambalo bwana Munga alikuwa Mhariri wake. Gazeti hilo lilikuwa likiandika makala kem kem zilizohusu saikolojia.Mambo mengi yalijadiliwa katika Gazeti la Jitambue kama vile ndoa, mapenzi, mafanikio,elimu,afya,ubongo na mengineyo ambayo kwasasa siyakumbuki. Mimi...