Kweli hujui kufanya siasa wala kampeni. Kwanza umezungumzia cv ya mtu isiyoendana na nafasi anayowania, kwa maana ya kwamba kuwa chair wa Chasso-SAUT haitoshi kumnadi kuwa Chair wa BAVICHA , pili umeshindwa kusoma alama za nyakati kwa kutokutambua hali iliyopo kati ya SAHARA MEDIA VS CHADEMA...
Wandugu, nimefikiria sana tangu vyombo mbalimbali vya habari vimnukuu Mizengo Pinda kwamba naye atagombea nafasi ya kwenda kuishi Magogoni. Hivi akijipima mabavu anadhani anauwezo wa kushika nafasi hyo nyeti..!!? Kweli sura siyo roho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.