Habari za wakati huu!! Mimi ni mhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil (uhandisi wa ujenzi) mwaka huu kutoka chuo cha DIT. Miaka kadhaa nyuma nilipomaliza elimu ya diploma (2017) nilifanya kazi katika kampuni tofaufi tofauti za ujenzi.
Kwa sasa mara baada ya kutoka chuo nimefikiria kufanya...
Habari!! Naitwa Salehe nipo Dar, ni muhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil kutoka DIT (2024).
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka miwili kama Civil Technician (Kuanzia 2018). Pia nimefanya kazi viwandani hivyo kuhusu usalama kazini najua.
Natafuta nafasi ya kazi kama Civil Engineer/Technician...
Naitwa Salehe nimemaliza elimu ya Bachelor of Engineering in Civil 2024 (DIT). Pia ni Civil Technician mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya mitatu katika kazi za ujenzi hususan ni Majengo. Kwa yeyote atakayehitaji mtu wa usimamizi wa kazi zake naomba tuwasiliane 0654224037.... Makazi ni Dar es Salaam.
Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma in Civil Engineering mwaka 2017 pia namalizia masomo yangu ngazi ya Bachelor in Civil Engineering katika chuo cha DIT. Kwa sasa natafuta nafasi ya kazi katika kampuni ama mradi wowote kama Civil Technician au pia hata kufanya kazi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.