Recent content by Sirleh94

  1. Sirleh94

    Tusaidiane Ushauri Hapa

    Habari za wakati huu!! Mimi ni mhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil (uhandisi wa ujenzi) mwaka huu kutoka chuo cha DIT. Miaka kadhaa nyuma nilipomaliza elimu ya diploma (2017) nilifanya kazi katika kampuni tofaufi tofauti za ujenzi. Kwa sasa mara baada ya kutoka chuo nimefikiria kufanya...
  2. Sirleh94

    Civil Engineer/Technician

    Nashukuru kwa ushauri wako🙏 Nimeupokea!!
  3. Sirleh94

    Civil Engineer/Technician

    Shukrani
  4. Sirleh94

    Civil Engineer/Technician

    Habari!! Naitwa Salehe nipo Dar, ni muhitimu wa Bachelor of Engineering in Civil kutoka DIT (2024). Nina uzoefu wa zaidi ya miaka miwili kama Civil Technician (Kuanzia 2018). Pia nimefanya kazi viwandani hivyo kuhusu usalama kazini najua. Natafuta nafasi ya kazi kama Civil Engineer/Technician...
  5. Sirleh94

    Nafasi Ya Kazi

    No, at the moment I have not registered yet
  6. Sirleh94

    Nafasi Ya Kazi

    Acha kukariri maisha!! Nilishasoma diploma nikaenda kufanya kazi miaka mi3, nikajiendeleza na bachelor huku pia nikiwa nafanya kazi sehemu.
  7. Sirleh94

    Civil Technician/Civil Engineer

    Nimeona mkuu shukrani
  8. Sirleh94

    Civil Technician/Civil Engineer

    Uzuri ni kwamba Maboss huwa hawapo kama wewe, akihitaji mtu anytime anachukua ilmradi kazi zake zisisimame.
  9. Sirleh94

    Nafasi Ya Kazi

    Naitwa Salehe nimemaliza elimu ya Bachelor of Engineering in Civil 2024 (DIT). Pia ni Civil Technician mwenye uzoefu wa miaka zaidi ya mitatu katika kazi za ujenzi hususan ni Majengo. Kwa yeyote atakayehitaji mtu wa usimamizi wa kazi zake naomba tuwasiliane 0654224037.... Makazi ni Dar es Salaam.
  10. Sirleh94

    Civil Technician/Civil Engineer

    salama.. ndiyo kwa sasa nina uhitaji wa kazi
  11. Sirleh94

    Civil Technician/Civil Engineer

    Habari za wakati huu!! Mimi ni muhitimu wa ngazi ya diploma in Civil Engineering mwaka 2017 pia namalizia masomo yangu ngazi ya Bachelor in Civil Engineering katika chuo cha DIT. Kwa sasa natafuta nafasi ya kazi katika kampuni ama mradi wowote kama Civil Technician au pia hata kufanya kazi za...
  12. Sirleh94

    Nafasi ya kazi - Kampuni za ujenzi

    Habari!! Natafuta nafasi ya kazi ya usimamizi wa ujenzi (Civil Technician) nina Diploma ya Civil Engineering. Napatikana Dar... Mob; 0654224037
Back
Top Bottom