Recent content by Siri wa Imwaga

  1. S

    TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

    Kundi kubwa ni sawa na kusema wote? Kundi kubwa linaanza na ngapi?
  2. S

    TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

    Sababu ya muda na utunzwaji wa kumbukumbu lkn waraka wa KWARESMA ni Kila mwaka Sasa huko nyuma hata cm mm ckuwa nayo lakini ukienda maktaba ya TEC utaona Matamko yote ya wakati wa Mkapa
  3. S

    Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

    Kwanza yaonesha hujui hata Imani Yako kwani na UKATOLIKI PIA HUUJUI TAMKO NDANI YAKE LIKO NA NENO LA MUNGU Tena limeanza juu tu mwa TAMKO Kasome tena
  4. S

    TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

    Mosi, hadi sasa ni Askofu nani amelikana Hilo TAMKO? Pili, kama Mkapa hakushauri ndio inaondoa uhalali wa SAMIA kushauriwa Leo? Je umelisoma TAMKO au na wewe umepita mbimbio tu? Hujasoma mahala wameandika kuhusu madhara ya uuzaji na WA rasilimali uliofanywa huko nyuma? Je ni ulishawahi kuona...
Back
Top Bottom