Sababu ya muda na utunzwaji wa kumbukumbu lkn waraka wa KWARESMA ni Kila mwaka Sasa huko nyuma hata cm mm ckuwa nayo lakini ukienda maktaba ya TEC utaona Matamko yote ya wakati wa Mkapa
Mosi, hadi sasa ni Askofu nani amelikana Hilo TAMKO?
Pili, kama Mkapa hakushauri ndio inaondoa uhalali wa SAMIA kushauriwa Leo? Je umelisoma TAMKO au na wewe umepita mbimbio tu? Hujasoma mahala wameandika kuhusu madhara ya uuzaji na WA rasilimali uliofanywa huko nyuma?
Je ni ulishawahi kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.