Sema hawa nyambizi wa jerusalem wameyakanyaga kwa iran asee kikubwa utulivu tu wakitaka mbaya wacha iwe mbaya kama wao ni wanaume kweli na sio wanapigana na kigroup kifua mbele asee sa mnyama kaingia kama wakiweza kutunisha upepo miluzi itakuwa kwao pamoja me salamu za rambirambi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.