Recent content by Sir Kisesa

  1. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

    Hujanielewa Tangazo la mwaka jana 2024 mwezi wa kumi, waliomba hawajaitwa mpaka leo?
  2. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Tararibu zipi za kufuata ili kuweza kusafirisha nyama nje ya nchi

    Mchi Vingunguti kuna baadhi ya vitu wanamlizia kufanyw registration ili warusiwe ku export Nyama. Ukweli sector hii wakenya wanafanya sana kutokana nchi yao haina cost kubwa kama kwetu , tuna mzunguko mkubwa sana. Fikiria 1. Unaanza kujisajili bodi ya nyama wana cost 2. Ukishasajiliwa...
  3. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Tararibu zipi za kufuata ili kuweza kusafirisha nyama nje ya nchi

    Ahsante boss kwa sasa nimepata dubai nyama ya mbuzi, china tafatilia pia
  4. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Tararibu zipi za kufuata ili kuweza kusafirisha nyama nje ya nchi

    Habari, Kwa wazoefu wa Wanao safirisha Nyama Nje ya Nchi, Nimepata soko tayari na nataka kusafirisha Nyama ya mbuzi nje, Kuna mifuko ya package, nime attached ktk post naomba kujua naipata wapi, na kwa wazoefu zaidi wanipe utaratibu wote Nishafatilia kibali board ya nyama, slaughter house...
  5. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania BUCHA YA NYAMA YA MBUZI

    Shukran kwa ushauri
  6. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania BUCHA YA NYAMA YA MBUZI

    Shukran
  7. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania BUCHA YA NYAMA YA MBUZI

    Shukran
  8. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania BUCHA YA NYAMA YA MBUZI

    Habari Naomba wazoefu mnisaidie , nikifingua Bucha yq Nyama ya Mbuzi itanilipa? Naona mabucha mengi ni Ng'ombe. Naomba wazoefu mnisaidie, je inalipa location ni Dar
  9. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania UNGA WA UWANGA.....

    Nimeweka namba hapo , hayo mengine sio kujadili humu Nitafute tuongee biashara
  10. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania UNGA WA UWANGA.....

    Nahitaji Unga wa Uwanga (arrow roots powder) Habari zenu, naomba mtu anayejua sehem naweza kupata Unga wa Uwanga(arrow root powder), nahitaji mwingi hata kama tone 5 unazo au unajua zilizo. Nanunua kg kwa tsh 3,000/- Tuwasiliane+255 620 304 289
  11. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Shipping agent dar

    Habari Nahitaji shipping agent faster , nahitaji kusafirisha bishaa kutoka dar kwenda Dubai au oman Njoo whatsapp leo hi hi 0620304289
  12. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Nina kampuni ya uuzaji wa avokado na korosho nje ya nchi .

    Naomba niseme kidogo Nina uzoefu mdogo nataka ku share, kuna boss wangu yupo Dubai , anaishi huko takriban 30yrs sasa. Kila siku anaitumia bei za bishaa sokoni , aisee bidhaa zinauzwa ghali sana kule. Jana tu, kuna kipate kama kile cha 500 huku Tanzania, wao kimewekwa ktk kopo ndogo la 600gm...
  13. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei ya Chainsaw

    Habari, naomba kujua aina gani ya Chainsaw mashine ni bora kwa kupasua mbao Na bei zake zikoje kwa Dar Nasoma coments
  14. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania FURSA YA BIASHARA.....

    Kutokana na namna inavyofanyika hamna cost yeyote
  15. Sir Kisesa

    JamiiForums Tanzania FURSA YA BIASHARA.....

Back
Top Bottom