Mchi
Vingunguti kuna baadhi ya vitu wanamlizia kufanyw registration ili warusiwe ku export Nyama.
Ukweli sector hii wakenya wanafanya sana kutokana nchi yao haina cost kubwa kama kwetu , tuna mzunguko mkubwa sana.
Fikiria
1. Unaanza kujisajili bodi ya nyama wana cost
2. Ukishasajiliwa...
Habari,
Kwa wazoefu wa Wanao safirisha Nyama Nje ya Nchi,
Nimepata soko tayari na nataka kusafirisha Nyama ya mbuzi nje,
Kuna mifuko ya package, nime attached ktk post naomba kujua naipata wapi, na kwa wazoefu zaidi wanipe utaratibu wote
Nishafatilia kibali board ya nyama, slaughter house...
Habari
Naomba wazoefu mnisaidie , nikifingua Bucha yq Nyama ya Mbuzi itanilipa?
Naona mabucha mengi ni Ng'ombe.
Naomba wazoefu mnisaidie, je inalipa location ni Dar
Nahitaji Unga wa Uwanga
(arrow roots powder)
Habari zenu, naomba mtu anayejua sehem naweza kupata Unga wa Uwanga(arrow root powder), nahitaji mwingi hata kama tone 5 unazo au unajua zilizo.
Nanunua kg kwa tsh 3,000/-
Tuwasiliane+255 620 304 289
Naomba niseme kidogo
Nina uzoefu mdogo nataka ku share, kuna boss wangu yupo Dubai , anaishi huko takriban 30yrs sasa.
Kila siku anaitumia bei za bishaa sokoni , aisee bidhaa zinauzwa ghali sana kule.
Jana tu, kuna kipate kama kile cha 500 huku Tanzania, wao kimewekwa ktk kopo ndogo la 600gm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.