Recent content by Sir hamidu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Uingereza na Israel hawana katiba sisi mishipa ya shingo inatutoka

    Habarini wana jamvi, kama inavyojieleza hapo juu naomba kuelimishwa kwanini hiyo nchi tajwa haina katiba iliyo andikwa? Pia naomba kujua inaendeshwaje bila ya katiba hiyo na vipi inatatua matatizo yake ya kisheria.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Tatizo la maumivu sehemu ya Siri na kukojoa damu

    Yeah nmepima kichocho npo salama. Labda nsjue kuhusina na figo
  3. S

    JamiiForums Tanzania Tatizo la maumivu sehemu ya Siri na kukojoa damu

    Naombeni msaada, kama inavyojieleza hapo juu ni miezi kadhaa hilo tatizo limekua likijirudia rudia. Napata maumivu makali sehem ya korodani ambapo inapelekea muda mwingine kukojoa damu na nmeshaenda hospital tena za hali ya juu na kuambiwa sina ugonjwa wowote zaid ya kupewa dawa za UTI na za...
Back
Top Bottom