Ndugu zangu natafuta kazi.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 niliyemaliza degree ya kwanza ya UCHUMI.
Aidha nimepata mafunzo mbali mbali ya muda mfupi ambayo yameniongezea ujuzi na ufahamu wa kutosha katika nyanja mbalimbali.
Naomba ushirikiano wenu. Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.