Asante sana kwa nasaha zako katika ujumbe ulioandika hapo juu.
Ni takriban miaka zaidi ya ishirini sasa wakati jambo unaloandika juu ya yule afande kule nyanda za juu kusini alipolimwa risasi kwa ile zinaa...nilikuwepo jeshini kipindi kile...sihitaji kujieleza zaidi kwa sababu unaandika habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.