-Ewe mtanzania kwa yeyote aliyefanyiwa dhuluma kwenye siasa, uchumi,ndoa, shuleni asivunjike moyo . Haki ya kweli hutoa mwenyezi Mungu mwenye rehema. Tusivunjike moyo, tusiwe na huzuni kwa kuishi duniani kuona kucheleweshewa haki. Mwenyezi mungu Rehema ameelezea kwenye kitabu takatifu quran...
Hii haijakaa sawa watumishi walioajiriwa taasisi/idara mbalimbali mwingine kupewa zawadi kubwa sana tofauti na mwenzake ilihali wote watanzania na pia wanahudumia Taifa.
Na mzizi wa haya yote ni utofauti wa mishahara. Anayefanya kazi halmashauri au mikoani kulipwa kidogo tofauti na...
Utawala wa mama samia umeonekana kuwa na niya nzuri lakini kuna mambo mengi inaonesha imedhamiria kunyanyasa watu.Manyanyaso ni kama yafuatayo;
1.Demokrasia ya watu kuandamana inaminywa kisa tuh haitaki kuona watu wakidai haki zao.
2.Serikali imekuja na mifumo mbalimbali kama pepmis na mengine...
Tuliza akili vizuri mimi simtetei muharabu wala mzungu. Naelezea jinsi vita ya dunia itakavyo anza. Sasa wewe udini umetolea. Halafu Acha matusi tutakutumia wasiojulikana wakuba----
kichaa wewe na Nyetanyahau wako. Muache visasi mnaharibu amani ya dunia. vita ya africa usifananishe na vita yawapalestine. kumbuka kule israel anatumia AI weapons kulipua watu kwenye anga. kwa nini wasitume wanajeshi wapambane uso kwa uso. Wanatuma sana mabomu matokeo yake wapalestine zaidi...
Mauaji ya africa usifananishe na wapalestine. Mimi sipo kuwatetea waarabu au waisrael . Mimi nazungumzia utu duniani imepotea. kuna siku mabomu ya nyuklia yatatumika kuoneshana nguvu. Hoja yangu kwa nini dunia tusiishi kwa kupendana na kuasha visasi. Angalia familia zina ishi kwa shida kupoteza...
Dunia ya sasa sio kama dunia ya miaka ya nyuma baada ya UN kuundwa. Mauaji yakitokea kwa waarabu au warusi dunia kimya. Lakini mauaji yakitokea kwa Israel au Marekani au Europe ukitoa Urusi utaona dunia itakavyolaani.
Mwenendo wa dunia ishafikia wakati kila mtu anajiamulia kufanya jambo ili...
Pepmis ni mfumo mpya ambao kuna baadhi ya watumishi bado unawaletea shida. Wangeacha kwanza huu mfumo watu wauelewe kwanza hata zaidi ya mwaka mmoja then baadae utumike. Halafu pia Internet pia ni gharama nyingine.
Hongera sana serikali kuanzisha pepmis ambayo imekuwa chachu kwa huduma za utumishi kupatikana kidigitali. Pepmis imerahisisha sana kwa serikali kuona watumishi wao wanayofanya kila siku.
Lakini ingawaje Pepmis imeonekana na faida lakini imekuwa fimbo kukosesha watumishi haki zao. Mtumishi...
Shida ni serikali haijadhamiria kumlinda mtoto wa mkulima ambaye hali yake sio nzuri. We ona upendeleo serikali inachokifanya kwanza inaanza kuwalipa wanaosomea nje . This is bullshit
Kumekuwa na hali ya kucheleweshewa kupata hela ya utafiti kwa ambao wamebahitika kufadhiliwa na wizara ya afya kwenye kusomea ubingwa na uzamili. Hii imeripotiwa na wanafunzi wa chuo fulani haswa cha serikali kudai hela zimechelewa kutoka ya utafiti ilihali kuna wengine wanamiezi miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.