Neno WASOMI,linapumbaza fikra za watanzania,kutokana na matumizi Yake....sikulaumu kwa kuwa huo ni mtazamo wako,lakini ni wakati muafaka kwako sasa uondoe UDHALILI ulionao juu ya WASOMI ,ukifanya hivyo utakuja na matokeo mengine mazuri zaidi katika utafiti wako Kama una nia ya dhati ya kujenga...
Mawazo ni Zaidi ya Sugu,Harakati za Lema na Mawazo ni za styre moja ,pia Lema atabanwa na Majukumu ya Vikao vya Bunge ila huyu Jamaa sidhani Kama Ana Majukumu kwa sasa
CDM,maamuzi mliyoyafanya si magumu,ni mepesi na ya kawaida katika dhama hizi za utawala wa ki democrasia hasa kuelekea katika kile mnachokiita harakati za Ukombozi,ni lazima viongozi wa Chama wawe makini katika utendaji ili kujenga uaminifu kwa jamii ya watanzania hata kufikia kikabidhiwa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.