REHEMA WA NJIA PANDA IV
Kwa upande wa Anord baada ya kuithibitishwa kuwa hakukuwa na tiba yoyote ya kumaliza tatizo lake ambalo kila mtu alimwona ni kichaa ikashauriwa arejeshwe nyumbani ambako tofauti na ilivyotegemewa mchumba wake aliyemwahidi kumwoa hakutaka kujitenga naye zaidi alimhudumia...
REHEMA WA NJIA PANDA III
"Siki kafariki usiku asubuhi nimemkuta amekufa"Aliongea yule mama akigeuza kurudi nyumbani kwake akiongozana na yule daktari mpenzi wake wa zamani ambaye aliamua kuachana naye baada ya kuwa na marehemu mwanaye ambaye daktari hakujua kama ni bintiye kwani walianzisha...
REHEMA WA NJIA PANDA
II
''Asante Mungu ameamka! Kisebengo na mwenzake walijikuta wakiongea kwa sauti ya juu iliyowashtua hata wagonjwa wenzake.
''Kweli Mungu mkubwa hakuwa wakupona yule''Alisikika mgonjwa alikuwa kwenye kitanda cha tatu kutoka alipokuwa amelazwa Anord.
''Maombi yamesaidia...
RIWAYA; REHEMA WA NJIA PANDA
MTUNZI: Moringe John Mhagama
NITAFUTE; simulizizakasuku@yahoo.com au 0717308038 (Whatsap pekee) au
(0621081076 Meseji pekee)
KITABU CHA KWANZA
“Oyaa , madenti subirini abiria waingie!’’
‘’We dogo nitakufumua hembu sogeza kongoro zako pembeni" hizi zilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.