Recent content by SIMULIZI RIWAYA

  1. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: mafuta ya masaji (Action na Mapenzi)

    𝐒𝐢𝐦𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢: 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐓𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐀𝐉𝐈 𝐀𝐢𝐧𝐚: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji 𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047 ______________ Na hii ni sehemu ya tano. ILIPOISHIA..... Tayari moyo wa kijana ulianza kupiga kwa kasi ya matamanio, kama vile moyo wa Madam sandra unavyopiga kwa kasi baada ya kupokea picha ile...
  2. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: mafuta ya masaji (Action na Mapenzi)

    𝐒𝐢𝐦𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢: 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐓𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐀𝐉𝐈 🔞 𝐀𝐢𝐧𝐚: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji 𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047 ______________ Na hii ni sehemu ya nne. ILIPOISHIA..... Kabla Onesmo hajachukua hatua yoyote, alihisi kama miale ya umeme ikimpiga shingoni. Giza likatanda usoni kwake huku mwili wake ukilegea...
  3. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: mafuta ya masaji (Action na Mapenzi)

    𝐒𝐢𝐦𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢: 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐓𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐀𝐉𝐈 𝐀𝐢𝐧𝐚: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji 𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047 ______________ Na hii ni sehemu ya tatu... ILIPOISHIA..... Mwanamke huyu sasa alikuwa amebaki na taiti yake nyeupe inayofanana rangi na sidiria aliyovaa kuyabana matit yake makubwa. Onesmo...
  4. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: mafuta ya masaji (Action na Mapenzi)

    𝐒𝐢𝐦𝐮𝐥𝐢𝐳𝐢: 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐓𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐀𝐉𝐈 𝐀𝐢𝐧𝐚: Chombezo/Maisha/Visasi/Mauaji 𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047 ______________ Na hii ni sehemu ya pili.... ILIPOISHIA..... Madam Sandra akiwa ndani ya kigauni kifupi kilichoacha wazi sehemu kubwa ya mapaja yake alipigwa na butwaa kumuona kijana aliyemchungulia...
  5. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: mafuta ya masaji (Action na Mapenzi)

    𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047 __________________ Sehemu ya kwanza... UTANGULIZI Sikujua kama mwanzo wa mapenzi ni mwisho wa amani yangu. Kila kitu kilibadilika siku ambayo nilimwona kwa mara ya kwanza mwanamke fulani wa hadhi ya juu. Alikuwa akibadilisha mavazi ndani ya gari bila kujua...
  6. SIMULIZI RIWAYA

    Simulizi: Sasha Mlinzi wa Nafsi - 1

    Kwan tuliishia wapi ngoja tuendelee basii
  7. SIMULIZI RIWAYA

    Simulizi: Sasha Mlinzi wa Nafsi - 1

    [emoji26][emoji26][emoji26] hamnunuii
  8. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    Tumahie kwenye uzi huu nipost link hapa chini stor ni hii hii imefika hadi sehem ya 58 , tutapata muendelezo hukoo https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2063104/
  9. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    [emoji117] STAY WITH ME (Baki na mimi). [emoji117] SASHA MLINZI WA NAFSI [emoji117] MODERN WAR(Vita ya kisasa) [emoji116] FROM ISRA TO ISRA Unahitaji simulizi gani kati ya hizi.... WhatsApp 0756862047
  10. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    FROM ISRA TO ISRA Sehemu ya............36 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 ILIPOISHIA... Wakati huo Tesha na Felix waliendelea kutazamana, hali hiyo ikidumu kwa zaidi ya sekunde 60 kila mmoja akiwa haamini anachokiona. SASA ENDELEA... Mwisho Brandina akatoa ishara fulani akiwataka...
  11. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    FROM ISRA TO ISRA Sehemu ya............35 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 ILIPOISHIA... Huyu hakuwa mwingine bali ni mwanamitindo maarufu nchini Tesha. Naye alifika kwa ajili ya kukutana na mpenzi wake Felix ambaye anawasili dakika chache zijazo na ndege ya BOENG 707 AIRWAY kutokea...
  12. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    FROM ISRA TO ISRA 0756862047
  13. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    FROM ISRA TO ISRA Sehemu ya............34 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 ILIPOISHIA... "Ooh! Mungu wangu balaa jingine hili David, tunakamatwa. Wameshajua kuna watu zaidi wametoroka..." Alisema Dayana akionekana mwenye hofu kubwa. SASA ENDELEA... Mateka wote walikusanywa sehemu moja...
  14. SIMULIZI RIWAYA

    Riwaya: From Isra to Isra (Kutoka Isra kwenda Isra)

    FROM ISRA TO ISRA Sehemu ya............33 Mtunzi: Saul David WhatsApp: 0756862047 ILIPOISHIA... Wote watatu walitoa macho kwa mshangao ulioambatana na hofu, kwa vyovyote vile ni wazi Zungu na David wataonekana wakielea pale juu. "Mungu wangu tumekosa nini" Alisema Dayana akionekana kukata...
Back
Top Bottom