Ninaharibu biashara yangu as per your view,ila nimetoa tangazo ila mtu kaamua kuongea vibaya na wengine kunikatisha tamaa then you want me to bend over,sijakuona ukitoa comment ya watu walioanza ukorofi and what does that say about you?!usitetee mambo ya kijinga...kila mtu alienitumia text...
Na bado mtu anakuambia eti customer skills ila watu wanaaharibu tangazo alafu hata haja address hilo swala...sisi wote vijana tunatafuta hela ila watu wanakuwa wa ajabu sana badala kushauriana kupiga hatua ila mtu anaongea vitu tu vya kubomoa na moyoni unaona furaha una amani,ustaarabu hakuna na...
Come on kaka customer skills za mtu ambaye sio mtaarabu,wawe na heshima na kwa mtu anaeona nakosea atakuwa sio mwelewa...yeye kaona kuku bei hiyo ila kasema makusudi kunikatisha tamaa akihisi kuwa mimi sijui kitu nitashusha tu bei then atanitafuta now hilo umeliona?na nimemjibu accordingly kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.