Recent content by simkangasteven

  1. S

    Naombeni ushauri kama nimetapeliwa au la

    Tena ,,nimepewa orodha ya mahitaji,,ni zaidi ya hatari,,,dahhhh
  2. S

    Naombeni ushauri kama nimetapeliwa au la

    Asante sana kwa maelezo mazuri
  3. S

    Naombeni ushauri kama nimetapeliwa au la

    Nina madogo zangu wawili wanataka kujiunga na JWTZ, sasa nimetozwa 15,000 ya fomu kila mmoja, 18,000 ya usajili kila mmoja, sasa hivi naambiwa inatakiwa 80,000 kila mmoja gate pass. Hivi ni sahihi au napigwa na kitu kizito? Kibaya zaidi hela natuma kwenye namba yake huyo mtu Naombeni majibu...
Back
Top Bottom