Recent content by Simi

  1. S

    Marais Museveni na Kenyatta waishangaa Tanzania

    Nadhani hapa hujaelewa. Hatuwacheleshi, si hatupo kwenye ukanda wa juu... kwaiyo kwenye ukanda wa chini tupo sisi na burundi tu.. EAC imeishatengwa tu kwa maneno haya..
  2. S

    Marais Museveni na Kenyatta waishangaa Tanzania

    Inatubidi tuwe makini. Leo nipo kwenye Kongamano la vijana la EAC hapa kampala ila hata hapa, nimefika kwenye eno na bendera yetu haipo kwenye meza.. mpaka nimeuliza na kuwaambia waiweke... Nadhani inatubidi tuwe makini na tunachojiingiza. Nafurahi kuwa matatizo kama haya ya kujitenga yameanza...
Back
Top Bottom