Mjinga, barua yenyewe kaandikiwa, halafu eti hapati ushirikiano toka viongozi wa kitaifa, jamani hata aliyemuandikia barua ni mbumbumbu, muandishi wa barua lengo lake ni viongozi wa kitaifa, diwani ana viongozi wa ngazi yake kiuongozi ni kata, wilaya, mkoa, kanda. Kushikiwa akili ni kubaya sana...