Nikusahishe vitu vidogo tu
PM wa UK (England, Scotland, Wales and Northern Ireland) ni Rishi Sunak dini yake muhindu
Hao wabunge watatu waislam wa bunge la Marekani lenye viti 435 still hawajafika hata asilimia 1
Safari bado ndefu ila one day yes
Uislamu ni imani sio mila wala tamaduni.
Huwaga nachukulia upo nondo haya mambo hata kwa avatar yako ila nazidi kuamini msemo dont judge a book by its cover
hapa tunazungumzia uislamu na uarabu, mimi sio mkristo na ndio maana wala sitaji habari za wakristo hilo ndio tatizo la sisi waislamu kuna vitu vingine ni vya ukweli lakini tunapindisha. Mwenyezi Mungu ametuumba kwa utashi yaani kutambua vitu na mambo kwa ujumla, tujifunze mda mwengine kuumiza...
Uzi huu ni wa waislam kuleta hoja. sio ninyi mnaoabudu the almighty dollar, Kipaumbele kwenu Pesa, Mjadala unahusu dini wewe kipaumbele chako ni pesa na kufurahia waarabu kuja. kama ni hivyo yafaa yafaa uende jukwaa la biashara ukajifunze biashara na sio kungoja waarabu ukidhani mambo yatakuwa...
Tujikubali na asili zetu, tujivunie vyetu.
Dufu ni ngoma za waarabu, kuna ulazima upi kuacha kupiga ngoma zetu sisi za asili yetu Mdundiko, Lizombe,sindimmba,mganda,mdumange,msewe, ?
uarabu una mila na desturi zake na uislam una sheria zake lakini huku kwenye uislam tumekomba mpaka uarabu, nimeuliza swali uislamu ni uarabu?
Majina - yani mpaka jina la ukoo linanyofolewa.
Kutukuza waarabu - kuwa na dhana potofu kwamba waarabu ni ndugu zake Mwenyezi Mungu, kuiita ngozi ya...
Hii tabia ya kuchekana kwa hapa kwetu ndio inarahisisha zaidi utapeli.
Mtu akitapeliwa anaona soo kuwaambia wengine anaogopa atadharaulika na kuchekwa, ajabu ni kwamba hata hao wataomcheka washapigwa na vitu vizito walipotezea kimya kimya.
Kuna mtu huu uzi kakomenti kwa kebehi ila nimefatilia...
Utapeli hauna formula, nikujuze tu ya kwamba hata mawaziri, maprofesa, wafanya biashara wakubwa, wasanii, wanatapeliwa.
factors za kutapeliwa ni nyingi sana,
Hii tabia ya wabongo kama wewe kucheka wengine waliopatwa na majanga haya wakati hata wao yaliwahi kuwakuta ikome.
Wewe ulitapeliwa na mganga dawa za biashara kuna mtu alikukebehi ?
Niliwahi kwenda kwa mganga kuomba dawa ya biashara haikusaidia
ukaweka uzi mwengine kulalamika unapewa kipigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.