Recent content by Sikisitiniforeeiti

  1. S

    Jamani biashara hii ya daladala ni pasua kichwa

    Kweli dada Witness, huyu mtu siyo mchoyo, katuelimisha kuhusu hii biashara. MUngu ambariki sana.
  2. S

    Bus aina ya Eicher zinauzwa bei gani?

    Mkuu niaje, nilikuwa nasoma soma hapa nkaona thread yako apa, naomba unibeep kwenye namba yangu ili tuwasiliane kuhusu wapi pakuzipata hizi gari aina ya DCM kwa Dar es salaam. Namba yangu ni 0753122225. Ahsante.
  3. S

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Mkuu ulitoa maelezo mazuri sana sana, kwa Dar es salaam ni aina gani ya gari inafaa kulingana na experience yako??
  4. S

    Jamani biashara hii ya daladala ni pasua kichwa

    Everlenk habari yako, nimependa haya maelezo na mimi nataka kuingia kwenye hii biashara, tafadhali naomba unibeep kwenye namba yangu ambayo ni 0753122225 ili tuongee kwa kirefu zaidi. Ubarikiwe.
  5. S

    Toyota dcm mini bus nissan clivilian for sale

    DCM bado ipo? na ni sh ngp?
Back
Top Bottom