inasikitishasana jinsi ambavyo wasaidizi wa raisi kwamaamuzi yanayo kinzana juu ya maamuzi yakutoza kodi lineza simu baraza la mawazi linapo kaa waziri mkuu ndie mwenye kiti iweje leo makamba ajifanye ana ungana na walala hoi kupinga tozo hiyo wakati wakikao cha bunge wote mlikuwepo mnasinzia...
hakuna aliewahi kukaa ikulu miakayote kwakumwga damu kama anavyo fanya mwigulu na mafisadi wenzake waCCM kumbukeni yalio mkuta gadafi mlie mwita comando wa zanzibar leo nikipofu jeuri yote kwisha mnafikili MUNGU NI CCM ?
Ccm kulikomboa jimbo la iringa ni ndoto za mchana kulingana na mambo maovu yanayofanywa naserikali hasa mauwaji yaraia wasiona hatia kama daud mwangosi kule arusha ccm wameuwa watu kanisani katika viwanja vya mikutano wanawatuma polisi wauwe watu ili eti watu waichukie chadema wakati ndiyo...
ndugu wa tanzania kwa kauli alio itoa mh.waziri mkuu ya kuwapa kichwa zaidi polis kupiga raia nikauli ambazo zinaonesha kwamba sasa taifa linakwenda pabaya kwasababu kuruhusu polisi kupiga watu nidhahili watu wengi watapoteza maisha bila sababu kama ilivyo tokea hapo ARUSHA unga limitedi...
kulingana na nahali ilivyo katika nchi yetu uonevu ulivyo zagaa kila kona yanchi jewatanzania tufanye nini kukomesha uonevu huu makanisa yaliyo chomwa moto yamefikia 61 padre mmoja ameuwawa padre mwingine akajeruhiwa kwa resasi mchungaji akachinjwa hadharani wana nchi wasio nahatia kuuwawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.