Recent content by Sijijui

  1. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

    Ulilishwa matango pori na wewe ukayameza kama yalivyo.JPM kishasema anataka wale waliokuwa wanaishi kama malaika waishi kama mashetani,sasa ili kujustify nia yake hii ulifikiri anfetumia lugha gani kukuaminisha wewe mnyonge uelewa anachokifanya si uovu?
  2. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu, inakuwaje mnatuambia Miradi ya Hayati Dkt. Magufuli inaendeshwa kwa mikopo mikubwa na migumu kuhimilika?

    Mkuu wewe bado umevimbiwa na matango pori uliyolishwa na magufuli? Hivi wakati unasikiwa watu wanasema magufuli alikuwa baba wa uongo,wewe ulikuwa unaelewa nini? Anyway lipa kodi kwa maendeleo ya nchi yako
  3. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

    Yes na hiyo faida ndo inagenerate pesa za kusolve problems ili tufike huo uchumi wa juu
  4. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

    Sababu ya ujinga uliojazwa vichani mwao ni incompetent magu
  5. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

    Sasa muulize musaidiwe kuelewa huwa wanasign nini?
  6. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

    Utapata tabu sana
  7. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

    Though sina taarifa za uhakika ila nashawishika kuamini kuwa ujenzi unafanywa kwa phases na unafanywa na makampuni tofauti,hivyo kila mjenzi anapopatikana contract inasainiwa
  8. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Rais Samia achana na kuikumbatia CCM, fanya kazi zenye Maslahi mapana kwa Watanzania

    Kwani aliyeagiza uchunguzi ufanyike ni kigogo?
  9. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Wanaolilia legacy ya Hayati Magufuli someni alichoandika Bollen Ngetti

    Naunga mkono hoja
  10. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Hii inatokea na inawezekana tu Tanzania, hivyo acheni wenye Akili watucheke na watudharau kwani tumejitakia na tunastahili

    Naomba kujua ndani ya miaka 23 ya uongozi wake,Nyerere aliongoza awamu ngapi?
  11. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Hii inatokea na inawezekana tu Tanzania, hivyo acheni wenye Akili watucheke na watudharau kwani tumejitakia na tunastahili

    Kwani awamu zinakuwa defined na sheria gani hapa tz
  12. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Siyo katiba ya JMT
  13. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Katiba yetu inataja degree kama moja ya simu za mtu ili awe rais mkuu.sasa tunaapa kulinda katiba ipi sasa au tuipige chini tu kama tunashindwa kufuata utaratibu tuliojiwekea wenyewe
  14. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

    Katiba yetu inataja kiwango cha elimu cha angalau first degree ndiyo uqualify kuwania na kuwa rais wa nchi hii
  15. Sijijui

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanataka kuzuia Rais Samia Suluhu asiende kinyume na Hayati Magufuli?

    Nadhani shida kubwa kwake itakuwa ni katiba,hivi mkiangalia mle bungeni kuna watu wengine zaidi hao wanaomzunguka?
Back
Top Bottom