wanaccm wenzangu tusipende kuleta chuki ndani ya jamii ya watanzania pls,tuhubiri amani na upendo,hili swala la uchochezi tunalofanya litatumaliza wenyewe october,tujaribu kuwaomba wananchi watupe nafasi nyingine,sio kwamba Ukawa wakishinda nchi itakuwa kama libya hapana,hili ni kosa kubwa sana...
wanaccm wenzangu tusipende kuleta chuki ndani ya jamii ya watanzania pls,tuhubiri amani na upendo,hili swala la uchochezi tunalofanya litatumaliza wenyewe october,tujaribu kuwaomba wananchi watupe nafasi nyingine,sio kwamba Ukawa wakishinda nchi itakuwa kama libya hapana,hili ni kosa kubwa sana...
tatizo letu sisi wana ccm tumezoea uwongo sana,watu tuandika habari zenye tija,tupambane na wenzetu kwa mbinu sio siasa za majitaka,mnashushia hadhi chama chetu ccm wakongwe bhana tujenga hoja wakuu
nauliza wanaccm wenzangu siasa za kugawa tishti na kofia tumeacha?wenzetu zakwao wanauza...........,staili ya kugawa pesa,matusi,na kuwabeba kwa magari haitatusaidia tena,tuwe na sera za kuleta maendeleo bila hivyo mwaka huu sijui?????
strategy za Ukawa zinatisha,suluhisho ss wana ccm ni kujipanga kivyetu jinsi ya kuwafikia wananchi kwa ukaribu zaidi,wenzetu hawana cha kupoteza,tuachane na zile siasa za mipasho ndugu zangu wananchi wamechoka kabisaa,napatashida sana kuongea nao watupigie kura tena
jamani afya ya edo,pombe,mrema haituhusu,ishu ni nani mwenye sera za kutuletea maendeleo?sababu kazi yenyewe ni yakutumia akili,kingine tunaojadili afya za hao watu mwisho wetu wa kutibiwa ni muhimbili ambako hakuna dawa,tunaugua na kufa ovyo sababu lishe ni mbovu,uchumi umekuwa mbaya maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.