Tumuombe Mungu awajaze Watanzania hekima na busara,kumchagua kiongozi wanaompenda,na kila atakayejaribu kuiba kura,natamani azimike ghafla, maana kila chama kinahubiri uwazi na ukweli, je, hawa jamaa wengine akina.....hawatachakachua kura,Upinzani hakikisha wasimamizi wa kura zenu mnawajenga...
Hakika kwa Watanzania waliomsikiliza Dr Slaa leo, nina imani watafanya maamuzi sahihi ya kumchagua. Nimejionea mwenyewe Dr Slaa akiongea live na Watanzania.Jamani huyu ndiye raisi wa ukweli. Anaongea mpaka unavuta hisia,amejibu maswali yote kwa ufasaha zaidi bila kubabaika,unangoja nini ndugu...
Wakuu,hapa ndo mara ya kwanza kuingia na kuandika ndani ya jamii forum.Nimekuwa nafuatilia sana mada zinazotolewa na wanajamii forum. Hakika kuna hekima na busara nyingi. Naomba kukaribishwa ili nami niweze kutoa mawazo yangu bila hiana. Nawaahidi tutakuwa pamoja daima.
Ahsante sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.