Recent content by Sia Cathbeth

  1. Sia Cathbeth

    Valentines day is near, handbags 45000/-

    Tunafanya delivery Get your valentine gift mapema Call or text 0653580091 Zipo chache.
  2. Sia Cathbeth

    Nauza TECNO W4 Tshs. 150,000/

    Nipo Dar es Salaam
  3. Sia Cathbeth

    Nauza TECNO W4 Tshs. 150,000/

    Habari, nauza simu ya TECNO W4 ipo kwenye good condition na vifaa vyake vyote. Anayehitaji Tafadhari anitafute hapa private message.
  4. Sia Cathbeth

    Single mothers na vilio vya kushangaza

    Nilikuwa na mjibu mtu soma vema kwanza.
  5. Sia Cathbeth

    Single mothers na vilio vya kushangaza

    [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] umesoma wapi jamani. Inasikitisha dah. Huwa nashaangaa sana kwanini mashirika ya kimataifa wanakuja na NGO's zao za uzazi wa mpango, ngono zembe, ukimwi, kuelimisha kumbe kuna watu bado hawajui maswala kama haya ya matumizi ya condom mmmmh...
  6. Sia Cathbeth

    Hivi taifa letu lina wasomi au wataalamu wa kugushi na kuingia na majibu yaani vibuti

    [emoji23] [emoji23] nimependa ndo maana nasema ni uozo tu unapikwa Ila tunaweza kubadili
  7. Sia Cathbeth

    Hivi taifa letu lina wasomi au wataalamu wa kugushi na kuingia na majibu yaani vibuti

    Sijapinga una uwezo wa kuwa mkulima bila kukaa darasani ila mind you elimu ni elimu bwana. Wakulima wenyewe kutwa wanatafuta mbinu mpya za kuendeleza kilimo chao, tusitoke njia ya mada swala ni watoa elimu waibadilishe mitaala au mbinu za ufundishaji tuokoe taifa lijalo.
  8. Sia Cathbeth

    Hivi taifa letu lina wasomi au wataalamu wa kugushi na kuingia na majibu yaani vibuti

    Umechangia kwa busara sema umesahau kuwa mpaka mtu yupo chuoni au kamaliza uchumi hauusiani. Mtu aliyepo chuo anaweza kuwa na changamoto za hapa na pale ila anamanage kulipa ada vile vile kwa walio maliza. Usilalamike uchumi, watu wana mikopo, wafadhili na wengine wanamejiajiri so wanajilipia...
  9. Sia Cathbeth

    Do not treat a friend like your love when you know clearly you can't date him/her

    Tumia lugha fasaha nipo jamii since 2015.na wewe pia just scroll down si lazima ukomenti
  10. Sia Cathbeth

    Hivi taifa letu lina wasomi au wataalamu wa kugushi na kuingia na majibu yaani vibuti

    Wacha kusafiria nyota ya wenzako. Ndio upupu tunao mwagiana mavyuoni atii mbona flani haja soma zana potofu sasa wewe una uhakika kutokusoma kwako ndo kumewafanya wawe mashujaa wa dunia ushajaa wao usikubweteshe wewe msakatonge amkaa Tafadhari mbona Bakhresa kasomesha wanae alishindwa kusema...
Back
Top Bottom