Recent content by Shuri

  1. S

    Joseph Msukuma ni nani?

    Kweli uchambuzi kuhusu huyo kijana unaonyesha ni hatari na hafai ktk jamii yetu. Na dhambi zake tumezijua baada ya kumsaliti bosi wake, ambaye ni lowasa, nikinukuu maelezo ya wachangiaji. Jambazi mkuu yupo ukawa laiti pasingetokea usaliti, Jambazi mtoto na Jambazi mkuu ndani ya ukawa wote...
  2. S

    Lowassa akiwa kakalia jiwe baada ya uchovu wa safari ya kisiasa

    Jamani Ukawa Kweli madaraka matamu. Mwambieni mamvi kwa staili hii mtamvisha hadi kimini akajichanganye na machangu ili aombe kuchaguliwa. Tutatafutana humu baada ya uchaguzi
  3. S

    CHADEMA/UKAWA kuzindua kampeni tarehe 29 Agosti, 2015 Jangwani

    Je, Silaa ametimiza malengo mema akiwa ktk Chadema? Je jinsi uongozi wa Slaa ulivyopokonywa na kupewa mtu kwa sababu ana pesa. Huo Ndio mfumo bora? Je Mbowe nani amemkosoa baada ya kumtengua Slaa.
  4. S

    Masikini wa Tanzania amkeni, Lowassa ndio mkombozi wetu

    Ama kweli ccm Hanna jinsi kama pinda Waziri mkuu hana maadili Na Bilal makamu Wa rais nae hana nyie no Wa kuteseka mpaka kaburini Sawa Mr Mungu
  5. S

    UKAWA: Tumejipanga kuondoa mfumo fisadi wa CCM

    Hizo mali zilizoibiwa na viongozi wa Ccm ndio zinazotumika kupigia kampeni Ukawa. Na mjue wazi golikipa hawezi kuwa mshambuliaji. Nyie kumkubali golikipa na mkampanga safu ya ushambuliaji na kwa maneno ya kumsingizia mungu kuwa amembadilisha hiyo ni laana kwenu. Fisadi ni fisadi tu
  6. S

    Masikini wa Tanzania amkeni, Lowassa ndio mkombozi wetu

    Kwani uzalendo wa mtanzania unapimiwa ikulu? Basi kama yeye Lowasa Kweli alikuwa anahitaji tuwe na maisha bora ,nafasi alikuwa nayo kubwa kipindi yupo ktk dola.
  7. S

    Ukweli mtupu kuhusu Mchungaji Gwajima, Lowassa na anguko la CCM

    Nyie mnaolipwa kwa kukaa na kujibu hoja . Mnaonaje mkawa na kauli nzuri,na wala sio matusi. Huwezi mnadi mtu kwa matusi. Jibuni kwa hoja iwe faida kwetu sote.
  8. S

    Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015

    Kila kitu kinachoendeshwa na dola ni political kwa maslahi ya wananchi na chama tawala husika. Je wewe ulitaka kiwe family
  9. S

    Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015

    Kila jambo jema Ukawa hamkosi kutoa doa. Mnapenda kuzungumza ubaya wa wenzenu . Sera yenu ni ipi
Back
Top Bottom