Recent content by Shuli

  1. Shuli

    Ni kwanini unajenga nyumba ya ghorofa?

    Wenye ndoto za kujenga ghorofa msitishwe. Tafuteni watu sahihi ili wawaongoze vyema kuanzia hatua ya uandaaji wa michoro mpaka gharama zote za ujenzi kabla hamjaanza ujenzi. Binafsi mimi nimesomea ujenzi na ndio shughuli ninazofanya kila siku. Nimejenga ghorofa yenye eneo la mraba 204 (chini...
  2. Shuli

    Ujenzi rahisi kwa kutumia interlock blocks, jenga popote, jenga sasa

    Mita moja ya mraba (one square meter) ya tofali hizo zinaingia ngapi?
  3. Shuli

    Ujenzi rahisi kwa kutumia interlock blocks, jenga popote, jenga sasa

    Mkuu, una uhakika kabisa ujenzi wa kutumia tofali hizo una save hadi 40%?, maana mimi nilikuwa mmoja wa wasimamizi wa nyumba za NHC miaka ya 2015-2017, ambapo tulisimamia miradi yote ya NHC Tanzania, ikiwemo na ule wa Mikwambe+Mwongozo
  4. Shuli

    Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Kwanza naomba unielewe kuwa nimesomea ujenzi, kwa level ya bachelor. Na maisha yangu ya kila siku niko site. Na kwa baadhi ya vitu alivyoonesha mtalam (kama hollow blocks) nilishafanyia kazi saana tu. Hivyo sina maswali juu ya hivyo. Nauliza bei kwa sababu zifuatazo:- 1. Kwanza nina project ya...
  5. Shuli

    Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Technical na administration. Nilichelewa kukujibu nilikuwa kwenye majukum mengine. Maana sishindi humu jf
  6. Shuli

    Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Mimi niko sekta ya ujenzi kwa miaka 17, na nilishafanya shirika la nyumba la taifa NHC, kipindi cha Nehemia Mchechu ambapo nilipata nafasi ya kujifunza teknolojia mbalimbali katika ujenzi
  7. Shuli

    Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Mkuu, ni uamuzi wako kutosema bei. Ila nakukumbusha kuwa kuna teknojia nyingine pia zilikuja kwa jina la kupunguza gharama na muda wa ujenzi ambazo ni 1. hydraform bricks, EPS/Megapanel na Moladi lakini walaji wameshindwa kuona maajabu yake na kupelekea kupotea sokoni. Maana kwa watanzania tulio...
  8. Shuli

    Zitambue bidhaa za ujenzi zinazookoa gharama za ujenzi

    Mkuu, hii ni biashara , tena inaweza kuwa kubwa saana kuliko unavyotarajia. Nakusihi uweke bei ya tofali moja. Ili watu walinganishe na aina nyingine ya ujenzi. Hivi unafikiria kabisa unaweza umshawishi mteja kwa lugha ya saving kati ya 40-60% ?, bila bei? .Binafsi ,mimi niko wengine kwenye...
  9. Shuli

    Pata viatu na bidhaa za ngozi

    80,000
  10. Shuli

    Pata viatu na bidhaa za ngozi

    Pure leather travolta. Made in Tanzania kwa 80,000. Weka order yako sasa kupitia 0755678173 au 0713678173. Delivery in Dar ni 3,000 , na mikoani tunatuma kwa gharama za mteja.
  11. Shuli

    Kwanini Watanzania hawatumii aina hii ya matofari?

    Nina uzoefu wa hollow blocks kwa sababu tulikuwa tunazitengeneza na kuzitumia kwenye baadhi ya miradi yetu. 1. Hollow blocks kwa hapa Tanzania ni bei ghali kuliko solid blocks, ndio maana ilitupelekea kuagize mashine ili tutengeneze wenyewe kuliko kuzinunua. 2. Mixing ratio ya hollow blocks ni...
  12. Shuli

    Pata viatu na bidhaa za ngozi

    Huwa nawaona wanavalia suruali Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Shuli

    Pata viatu na bidhaa za ngozi

    Uvaaji ni swala pana saana na ni mtambuka. Kwa hiyo kila mahali , wakati kuna mivao yake kuanzia mavazi hadi viatu. Na sisi tunatengeneza viatu aina zote. Huwa tunawauzia wateja, na matumizi yake hupanga wao. Kwa hiyo, hata wewe kama unahitaji aina yoyote ya kiatu, tuwasiliane tafadhari...
  14. Shuli

    Pata viatu na bidhaa za ngozi

    Pata viatu vya ngozi halisi toka kwetu. Chukua viatu hivyo kwa 70,000 ama wasiliana nasi kwa 0755678173 au 0713678173 Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Shuli

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Engine ya 3SFE Kwa ajili ya Noah SR40 bei gani
Back
Top Bottom