Recent content by shukuru imma

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Pole sana, nenda kwa madaktari watalipa suruhisho, yawezekana shahawa zako hazina nguvu, nenda upime shahawa zako utapata majibu. Na mwanamke wako ikiwezekana atapewa dawa ya kubust mayai.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Dawa ya mwanamke anayekunyima unyumba

    Oa mke wa pili. Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ajiua na wanawe (4) kwa sumu kisa mke mwenza kajengewa nyumba

    Inasikitisha na inaumiza sana, kwa kweli watoto huyo marehemu amewakosea sana. Daaah
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ushahidi kwa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuhusu tuhuma za wanafunzi kusahihishiana mitihani S/M Kimandafu

    Mtoa mada rudi shule uongee na mwalimu muyamalize, acha kulalamika bila kutoa suluhisho, kumbuka huyo mwalimu ndio unaemtegemea aendelee kumfundisha mwanao. Wakati mwingine jaribu kushauri na sio kuwa na msuguano na mwalimu wa mwanao. Unadhani huyo mwanao atafundishwaje kama mzazi umekuwa ni...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Uko sahihi mkuu, mimi nilizalisha kipindi hicho cha ajabu hao wazazi wenzangu wananitafuta kila siku. Sasa sijui wanaishije na wanaume zao vip. Yaani wameolewa lakini bado wanataka mawasiliano
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu kaniambia nimwandikie kurasa ishirini za sababu kwanini mpaka sasa nimeshindwa kununua gari

    Brother mke wako mzuri sana, fanyia kazi hiyo changamoto, maisha ya sasa usafiri ni muhimu sana. Mke wako najua uwezo wako. Pambana
  7. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Michango imekuwa mingi Shule ya Msingi Njelela iliyopo Ludewa - Njombe, Mzazi ambaye hatatoa anakamatwa

    Elimu ni gharama, changia mwanao apate lishe akiwa shule. Njaa ni janga kwa mwanafunzi, kukaa darasani bila kupata chochote ni kudhoofisha na kumdumaza mwanao.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Wanawake mlio kwenye ndoa waheshimuni waume zenu na ndoa zenu

    Umeongea ukweli ubarikiwe sana, wanajisahau sana
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mabinti wanalilia NDOA lakini hamziwezi

    Wanawake jeuri, kiburi na ujuaji usio na maana
  10. S

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

    Oa mke wa pili. Ikifika zamu yake anakupa bila kuomba. Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake
  11. S

    JamiiForums Tanzania Ndugu naomba ushauri akili imestack

    We nenda kwa lengo la watoto wako tu, huyo mwanamke hata ukielezea vipi kwao ushachafuliwa kiasi kwamba hautaeleweka. Wewe jishushe lengo likiwa ni watoto wako. Kama anakupenda angeenda kwenu, nashangaa ameenda kwao, wewe ndio unatakiwa kumshitaki kwao na sio yeye kutangulia kukushitaki...
Back
Top Bottom