Recent content by Shuku_

  1. Shuku_

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kimasihara masihara tu hii stori itafikisha miaka mi5 hiv hiv, yaan si tupo tu tunasubiri muendelezo et! Yaan mke, mahawara wanapewa mimba… si tunasoma tu 👀 Watoto wanazaliwa ndani ya ndoa na wazinaa… si tunasoma tu 👀 Nitoshe kusema kuwa hii ni ISIDINGO au DUNIA mzee.
  2. Shuku_

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Anachofanya INSAIDA ana dhihirisha kiwa yeye ni mweusi tii! Maana hawezi kwenda na muda! Siku nkikuona, nkupasulia mayai kwenye kioo cha gari… oonho.
  3. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Aanha… angalau umenipa mwanga ndugu. Mkuu hiyo bei ni nzuri, pia ni wapi huko machungwa yanapatikana kwa bei hiyo ? Kiwangwa au?
  4. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Mi nilishangaa hiyo bei, pia nadhani huenda machungwa yake ni chungwa+dalansi ndo maana anauza bei hyo.
  5. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Wapi huko huko wanauza kwa bei hyo?
  6. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Bei hyo siiwezi, pia npo mbali na ulipo.
  7. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Nakushukuru 🙏🏽🙏🏽 Na machungwa je?
  8. Shuku_

    MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

    Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Kwa anayefahamu bei ya jumla ya MANANASI na MACHUNGWA kutoka kwa wakulima wa KIWANGWA- CHALINZE naomba anijuze. Natanguliza shukrani 🙏🏽🙏🏽
  9. Shuku_

    Je, Naweza kuchagua jinsia ya mtoto kabla sijamzaa.

    Hata mm nlipata MASHAKA kuwa inawezekana vp hyo, ila kwa7bu cjui imenibidi niwe kimya… 🤐🤐
  10. Shuku_

    Je, Naweza kuchagua jinsia ya mtoto kabla sijamzaa.

    Hamjambo 👋🏽 👋🏽 Mimi ni mwanamume. Wajuzi wa jambo hili naomba mnipe mbinu ya namna ya kufanya. Maana nahitaji uzao wangu uwe Y, X, Y, X mpaka mwisho, ila mtoto wangu wa kwanza awe wa kiume.
  11. Shuku_

    Je, umewahi Kutongoza au kuishi kimwili na mwanamke mwenye JINSIA MBILI?

    Habari zenu wana MMU Nyie mlio wahi kuishi na mwanamke mwenye JINSIA MBILI (huntha) yaani ya kike na ya kiume kwa pamoja. Njoeni mtupe uzoefu.
  12. Shuku_

    Wanawake Wanapenda Madeni

    Si kweli. Hiyo ni kauli ya kuwapa USAWA watu ambao hawapo SAWA.
  13. Shuku_

    Ni kipi kinachowaliza WANANDOA siku ya harusi?

    Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽 Hivi ni kitu gani kunasababisha mmoja kati ya WANANDOA kulia machozi wakati wa HARUSI? Maana jambo hili limekuwa likifanywa na WANANDOA wengi tu.
Back
Top Bottom