Hiyo, Ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine tumieni mouthwash(Hydrogenperoxide3%) unapigia mswaki kimfuniko kimoja asubuh na jion. Matokeo yanaonekana siku yakwanza tu, Asante
Habari zenu wakuu,
Nipo wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma nahitaji kufanya biashara ya kuuza mayai jumla na rejareja Kuhusu masoko yapo ila changamoto ni wapi nitapata mzigo kwa bei ya chini kidogo walau nipate chochote kitu.
Msaada mkuu nikunisaidia unijuze bei ya hapo hususa ni mikoa jirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.