Recent content by Shugu4272

  1. S

    Kozi ipi ya Art ina soko kwa level ya diploma?

    Eng_c,,,, kisw_ B,,,,,civics_C,,,,,geo_D,,,,,Hist_D,,,,,Bio_C,,,,,chem_D,,, physics nilikuwa sisomi akukuwa na ticha
  2. S

    Kozi ipi ya Art ina soko kwa level ya diploma?

    Wakubwa samahani, Mimi nimemaliza form four mwaka 2023 na nimepata division 2 point 20 nataka kwenda chuoni moja kwa moja. So Nilikuwa naomba mnijuze kozi za art ambazo soko lake la ajira sio gumu.
Back
Top Bottom