Unajua wakati mwingine sisi ni wapuuzi, tunapenda vitu vidogo vidogo sana issue kubwa hatuna mpango nazo, wiki nzima mkuu wa mkoa kosa hata halipo.. waacheni wateule wa rais wafanye kazi. Hapo chini mh. Mk alikuwa kwenye bench wakati mechi ikiendelea hatukusikia kelele za watu.. mwache...
F
Fikiria ndalichako kama waziri wa Elimu 2015 alipandisha gafla vigezo vya kuingia chuo kikuu Kwa Nchi masikini tuliozidiwa na Kenya Kwa Elimu Kwa mbali tu, je watu wa 2014 kushuka wanapataje vigezo vya TCU alihali vimebadilika, nilitegemea waje na aina Mbili ya udahiri 1. Waliomaliza 2014...
Ndugu yangu hao mawaziri matajiri watafikilia masikini kweli? Fikiria ajira ya 2014 na 15 wanadaraja Moja wakati 2025 walitakiwa kuwa na daraja la3 sasa hv wanatafuta la 2 usawa haupo kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.