Recent content by Shogilo

  1. S

    Jackline Wolper kavishwa pete ya uchumba

    huyo mrekebishaji muongo,,, sio yeye wamefanana bwana,
  2. S

    Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

    na mbona dai katooooo......mba weng nashanga watu wanamuona wema tu
  3. S

    Wema afunga ndoa bomani, amficha mume wake

    mashabiki wa dai hawajielewi mtu kawapisha kiroho safi mfanye yenu bado mnamuandama tu, au mlitaka aje hapo kwenye party ili mumfanyie kama ya enzi zile za diamonds are forever
  4. S

    Photos: A sneak peak into cristiano ronaldo’s gigantic luxury mansion in madrid

    katumia kiungo halali kufanyia kazi halali kupata pesa halali
  5. S

    Johari: Mapenzi ya Bongo wizi mtupu, Kila siku tunadanganyana tu

    kwanza ye alichezea mioyo ya wangapi!? 'KARMA'
  6. S

    Lulu ashambuliwa instagram kwa kucopy na kupaste kutoka kwa Rihanna

    lulu kafunika mbayaaaaaa,,, tofaut ni kuwa ririh anatangaza biashara yake ya muziki, wakati lulu anatangaza biashara yake ya.......
  7. S

    Kauli ya SNURA baada ya Mauno yake Kumponza

    ishu sio mauno sababu hata ray c alikuwa anakta,,,,ishu ni style ya kukata huku ukiwa umebong'oa
  8. S

    Haya mapenzi balaa! huyu Diva wa Clouds FM kazidi jamani

    Anatafuta promo...ngoja akirud uone
  9. S

    Msanii Chameleone anyang’anywa gari baada ya kushindwa kulipa kodi

    Ni ujeuri tu si kama hawez lipa
  10. S

    ngo ngo ngo

    hodi wapendwa, hope mko poa.... me ni mgeni humu nategemea ukarimu wenu. Ahsanteni
  11. S

    Tiba mbadala imeniponza mwenzenu

    pole sana ndugu
Back
Top Bottom