a war is a war,no one fight to loose.the fight for revolution there is no room for mercy.
Go go sugu, go go red bridged this time arround we will be by your side
UKWELI WA SWALA HILI NI KWAMBA USIWAAMINI SANA WATOAJI TAKWIMU.Mimi ninafanya kazi ya kuzitembelea nchi maskini nikikusanya F/Study lakini nimekuta kwamba baadhi ya nchi wanazodai ni maskini wananchi wao wanaishi maisha ya raha sana na kugawana raslimali za taifa sambamba.MFANO Nchi ya Zambia...
KAMA KATIBA YA CHAMA CHAKE INAMRUHUSU MGANGA AGOMBEE,WEWE INAKUUMA NINI
KAMA WATU WANAMPENDA,NA WAKO TAYARI AWAONGOZE, WEWE UNAWEZA KUZUIA.JIPANGE UPYA
What god has put hand no man curse
Ndugu MAKAMANDA wa chadema na wa Tanzania wapenda mabadiliko ktk taifa hili,naomba muige mfano kutoka inchi maskini ya Zambia lakini yenye utajiri wa siasa safi.
Ikumbukwe kuwa toka Rais wa kwanza wa Zambia Dr,Keneth Kaunda kuondoka madarakani na chama chake kumfia mkononi,Kilikuja chama cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.