Recent content by shinyangakwetu

  1. S

    Kuna shida ya mtandao wa LUKU?

    Ndugu kwani walitoa taarifa kuhusu mtandao au kuhusu mabadiliko ya token toka 20 kwenda 60? Je, unajua hilo tangazo lilihusu mikoa gani na mleta mada yuko mkoa gani? fanya utafiti then urudi umjibu vema zaidi
  2. S

    Duniani Kote Marais Waislamu hupenda kuwarithisha Urais Watoto wao yaani hupendelea Utawala wa Kifamilia!

    faiza nae si mule mule. bichwa lake limejaa tope[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
  3. S

    Duniani Kote Marais Waislamu hupenda kuwarithisha Urais Watoto wao yaani hupendelea Utawala wa Kifamilia!

    kweli tupu. tanzania mojawapo. mwalimu hakumpa madaraka yoyote mwanae mkapa hakumpa wanawe madaraka. magu vivyo hivyo ingawa yeye aliweka ukabila mbele. waislam karume na mwanae mwinyi na mwanae kikwele na rizi mama na abdul
  4. S

    PreGE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

    lazma mmoja awe mshindi. msigwa subiri huko mbeleni
  5. S

    Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

    ninyi ni mandondocha wa sheria. nani alifanya assessment ya uharibifu wa gari. bima hulipiwa gari kila mwaka je gari lilikua na bima ilokuwa hai wakati wa assesment(kama imefanyika) pia je ni bima ya aina gani linapotokea tatizo bima hulipa? nani aliwaambia kua gari la lisu lilikua na...
  6. S

    David Kafulila ni hazina kwa Taifa letu, anapaswa kutumiwa vyema kwa maslahi mapana ya nchi

    we jamaa hebu tulia kwa bashite. hakutoahi tuuu?
  7. S

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Hafai kuongoza binadamu bali wanyama pori huyu bashite
  8. S

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Mi nashangaa kama mpaka sasa hajatumbuliwa. sii kwa chuki ila hiki kijibwana hakifai kuwa kiongozi kwa nafasi yoyote ile
  9. S

    Ubadhirifu: Huu ndio Msafara wa Makonda kwenye ziara za Wilayani huko Arusha

    makonda hajawahi kuwa timamu. halafu hata ccm na serikali yao hawako sawa kitimamu 100%
Back
Top Bottom