Recent content by Shing'weng'wee

  1. S

    Sijui mtego huu?

    Kwani bado uko hapo barabarani? Polisi wamepima ajali? Yaani mshaondoka eneo la tukio bado unawaza kulipa? Mwambie aite traffic waje wapime ajali, sasa sijui mtarudi eneo la tukio???! Hata hivyo hii ni hadithi, yaani ya kutunga kwaiyo kama ingekutokea kweli hayo yangefaa kuwa majibu
Back
Top Bottom