Kama huna hofu ya Mungu reserve utaona inakufaa..Tumuogope alietuumba na tutambue kua uongo ni kosa la jinai kwake.
Shetani na watu wake ndo huona sawa ktk mambo yasiyo sawa.
Tuwe makini ktk kushauri,tutangulize hekima then ujinga ubaki nyuma.
"RESERVE NI SHETANI"
Kila mwenye reserve humfukuza...
Chukua vipande 5 vya karasi vyenye ukubwa wa wa ganda la jojo/wembe.Andika maneno tofauti ktk kila karatasi,mpatie na mpe wiki moja kukariri vitu maneno hayo.Itakusaidia kujua uwezo wake kushika mambo.
Doctor Benn Carson alikua hivihivi,alibadilika darasani mara baada ya kuachishwa mazoea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.