Pinda sio mtoto wamkulima ni msaliti wa wakulima kama alishindwa kuwatetea wakulima wa pamba wakauza kwa bei ya hasara atajiitaje mkulima? Sio mtoto wa masikini huyo!Kila la heri aendako Huko mtwara kwa mustakabali wa amani (uogawetu)!
Kazi ya chama tawala sio kuupinga upinzani serikali ya CCM kwakuwa na vijana wasio ona mbele na wazee walio filisika mawazo ndio hufikia hatua ya kuja na mikakati mfu kama hii wananchi wanakero nyingi ambazo wanatakiwa kuzitatua na kurudisha imani kwao leo wanabaki kutapatapa kaeni chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.