Recent content by shigaly

  1. S

    Walimu wote tafadhali someni hapa

    Nisingekua mwalimu kama sijitambui maana nisingekua na uwezo wa kujieleza mbele ya wanafunzi kama wewe unajitambua jaribu kusimama mbele ya watoto kumi fundisha halafu uone maana yako ya kujitambua, hujielewi umeandija nini hapo
  2. S

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu nipo Namtumbo songea natafut mtu wa kubadilishana nae anaetoka mbeya jiji, mbozi na momba alietayari tuwasiliane 0659742482
Back
Top Bottom