Nisingekua mwalimu kama sijitambui maana nisingekua na uwezo wa kujieleza mbele ya wanafunzi kama wewe unajitambua jaribu kusimama mbele ya watoto kumi fundisha halafu uone maana yako ya kujitambua, hujielewi umeandija nini hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.