Ukawa wamkaribishe Profesa Kikwete aone Live Mambo Ya Ukawa. Tumechoka kusikia kauli zake za Oooh, Mara za kuteneneza! Mara ooooh, za zamani wakati wa Dr. Slaa! Ashuhudie mwenyewe hiyo kesho paleeeeee! Jangwani.
Tuwajadili wagombea na sera au ilani za vyama vyao pamoja na vipaumbele vyao kwa taifa letu. Siyo kujadili tuhuma za watu, maana hayo hayatusaidii tena. Nafasi yake haipo tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.