Recent content by Shekh Khassan Makarama

  1. Shekh Khassan Makarama

    Vitimbwi vya majini na hila zao

    A aleykum warahametullah wabarakatu ndugu zangu katika imani na Amani ya bwana iwe nanyi milele kwa wale ndugu zangu katika Adam.Tunaendelea na darsa letu tulipoishia sehemu ya 3 tuliona namna gani ambavyo MAJINI wa kishetani wanavyoweza kusema maneno ya uongo ya kupamba pamba ili waaminike kwa...
  2. Shekh Khassan Makarama

    Karibuni: Yule mchambuzi wa majini,nyota na ndoto sasa ameingia Zanzibar

    Shekh Khassan Makarama sasa yupo Ungija ni yule mchambuzi wa majini,nyota na ndoto sasa ameingia Zanzibar anapatikana KIDIMNI KWA KANDURU wasiliana nae kwa no 0757144465au 0656228832 Usisumbuke tena na majini na ndoto mbaya fika kwa Shekh Khassan Makarama Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Shekh Khassan Makarama

    Vitimbwi vya majini na hila zao

    A,aleykum warahmatullah wabarakatu ndugu katika imani na ndugu katika Adam Bwana awe nanyi milele amina leo naendelea na darsa hili la vitimbwi vya majini na hila zake ikiwa ni sehemu ya 3 Katika aehemu ya 2 kwa wale ambao wanafuatilia tumeishia sehemu ambayo Allah anatuambia (Na hakika...
  4. Shekh Khassan Makarama

    Utambuzi wa nyota ijue nyota yako

    A,aleykum warahmatullah wabarakatu wapenzi wa darsa la NYOTA darsa litaendelea hivi punde endelea kufuatilia ili ujue NYOTA yako Maswali zaidi what up0757144465 au call me 0656228832 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Shekh Khassan Makarama

    UNAYESUMBULIWA NA NDOTO ZA MAJINI NA UCHAWI

    Ukifuatilia Mara zngu humu utakutana na darasa hilo kwa endelea kupekua
  6. Shekh Khassan Makarama

    UNAYESUMBULIWA NA NDOTO ZA MAJINI NA UCHAWI

    A,aleykum warahmatullah wabarakatu.Ijumaa Kareem .Naam nimekuwa nikizungumzia Mara kwa Mara katika mtandao huu mambo tofauti tofauti lakini moja ya jambo nililokuwa nazungumzia ni habari za ndoto na nimekuwa nikitafsiri ndoto kupitia mtandao Wa what-up na nimekuwa nikifanya hivyo pasipo...
  7. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Unawasaidiaje wasiojua kusoma hizo sura.Usikurupuke kuna watu hawakusoma kama wewe hivyo hawajui kama wewe lakini karibu katika Dua.Wakati we unapiga kelele kama hizi Mimi naendelea kuwasaidia watu
  8. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Karibu katika Dua na visomo vikali wewe ni msomaji mkubwa wa post zangu karubu
  9. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Nashkuru kuona ni msomaji wa posti zangu karibu katika Dua nzito na visomo vikali vya majini
  10. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Tukutane katika Dua nzito siku ya jumanosi hii karibu
  11. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Jumamosi Dua nzito na visomo mbali mbali tukutane pale pale kwa Shekh Khassan Makarama Tanga Mikanjuni kituo cha wapendanao
  12. Shekh Khassan Makarama

    Dua nzito kwa shekh khassan makarama

    Naam tumemaliza salama lakini niwataarifu na niwaombe muhudhurie katika Dua itakayofanyika jumamosi hii ya tarehe 20/01/2018 ufanye huu mwaka kuwa ni mwaka wa mafanikio kwako kwa kutaka radhi za mola wako na baraka zake ktk maisha yako.Dua itafanyika katika viwanja vya Shekh Khassan...
  13. Shekh Khassan Makarama

    Kujua herufi ya jina lako liko wapi katika mvuto wa kinyota

    KUJUA HERUFI YA JINA LAKO LIPO WAPI KATIKA MVUTO WA KINYOTA .Naam ni yule yule kijana mwenye kipaji cha kuwaadhibu majini vile atakavyo mwenye uwezo wa kutoa majini vichwani mwa watu na majumbani na si hayo ana uwezo mkubwa wa kuchambua ndoto na kutafsiri wengi wametafsiriwa ndoto zao...
  14. Shekh Khassan Makarama

    Dkt. Louis Shika aeleza Magumu aliyopitia hadi akatoroka Urusi. Alitekwa na kukatwa Vidole, Tanzania ilimtelekeza...

    Ukimsikiliza kwa umakini kuna kitu utagundua kwanza namna ndugu zetu wanavyopotea uko nje huyu alifanikiwa je unajua wangapi hawakufanikiwa kutoroka ?wangapi wameshauwawa na wangapi wapo katika mateso?lakini jambo jingine kuishi kwa kusoma tabia za watu na namna ya kuziepuka hatari alijua...
  15. Shekh Khassan Makarama

    Namna ya kumsaidia mkeo awahi kufika kileleni

    W,salaam ndugu kwema Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom